Search This Blog

Thursday, June 16, 2011

FURAHIA KUNGONOKA BILA KUFIKIA MSHINDO

Furahia kungonoka bila mshindo....inawezekana!

Kama unauzoefu na vilevile unapenda ngono (sio kungonoka na kila mtu, nazungumzia wewe na mpenzi wako mmoja tu unaempenda) unaweza kufurahia "muunganiko" wa mwili wako na wa mpenzi wako hasa kama wote mnajua miili yenu vema, yaani vipele vilipo....pale ukishikwa au kumshika mwenzio ananyegema au kupata raha fulani hivi ya kimapenzi.

Kumbuka kuwa Ngono ni kitendo cha kukutanisha viungo venyu vya uzazi (mwili) na sio kufika kileleni hivyo kufurahia au kupata raha (sio utamu ni raha hehehehe utamu mambo mengine, nitafute nitakuambia) bila kufikia mshindo inawezekana kabisa....by the path ni kutokana na uzoefu wangu.

Unajua kuwa kuna wakati unafanya ngono/mapenzi au niseme mnapelekana kwa muda wa saa nzima na ushehe na hakuna anaefika kileleni lakini wakati hili likifanyika unahisi kufurahia ile hali ya ukaribu, kushikana, papasana, kubadilishana mate/kubusu, kulambana na muunganiko wa viungo venu vinavyopendana kwa dhati ambapo kwa wakati huo wewe na yeye "manavimuvuzisha" nje-ndani au juu-chini au mduara (kukata kiuno) kama sio huku na kule na baadae ndio mmoja anawahi kileleni au manafika wote.....unauzoefu na hili? Unaelewa sasa na zungumzia nini eeh?

Ila tatizo linalojitokeza kwa watu wengi ambalo linaweza kupelekea watu kupinga ninachokisema hapa ni kuwa, unapokuwa nampenzi wako au unapofikiria swala la kufanya ngono akili yako inakuwa "tuned" kwenye "lazima nimfikishe kileleni mpaka akome au aombe radhi".....kwani umeambiwa ni adhabu? au "lazima tufike mara tatu" na matokeo yake mnapo anza kufanya mnakuwa mme-focus kwenye kufika kileleni na sio kufurahia miili yenu.

Kwa wale wanaume ambao Mungu kawa jaalia kwenda mwenzo mrefu na wanajua tofauti ya "sex na love making" ndio wazuri katika hili ikiwa tu kamuandaa mpenzi wake (mwanamke) nampenzi huyo (mwanamke) anajua kujizuia kufika kileleni na hapo nyote wawili mtafurahia tendo bila kufika kileleni mapaka mtakapochoka "kubilingishana" ndio mnajiachia na kufika pamoja au moja baada ya mwingine.

Ikiwa wewe ni mwanamke ambae kwa bahati mbaya huwezi kufika kileleni ukiwa umeingiliwa (uume kuwa ndani) basi hii ndio inakufaa zaidi kama wewe na mpenzi wako mnajua kuchezeana vizuri na kwa ustadi.

Unachotakiwa kufanya ili kufurahia hili ni kujiandaa kiakili, kimwili na vilevile mazingira....

Nitakuja kumalizia hilo nikifika nyumbani,.....wacha nimalizie kutumikia watu hapa!

Oh hey! ile mbinu ya mwisho ya kumfanya jamaa atangaze ndoa ambayo ili-base kwenye Poll itafuata pia, karibu sana

No comments:

Post a Comment