Search This Blog

Saturday, June 11, 2011

HUYU NDIYE MISS TABATA MWAKA 2011


Vodacom miss Tabata mwaka 2011 Fhaizer Ally akipunga mkono mara baada ya kushinda katika shindano lililofanyika kwenye ukumbi wa Dar West jijini Dar es salaam kulia ni mshindi wa pili Agosta Mashanga na kushoto ni mshindi wa tatu Godliver Mashamba

No comments:

Post a Comment