Search This Blog

Thursday, June 16, 2011

SERIKALI:STUDIO YA JK NI KWA AJILI WASANII WALIOIOMBA

Tuesday, March 22, 2011

SERIKALI:STUDIO YA JK NI KWA AJILI YA WASANII WALIOIOMBA


Mwakilishi wa Kampuni ya Fleva Unit ambayo ndiyo imekabidhiwa studio ya kurekodia muziki (Mastering Studio) na Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, Said Fella (kushoto) akitoa ufafanuzi juu ya vifaa hivyo Jumatatu wiki hii kwenye Jukwaa la Sanaa BASATA. Katikati ni Katibu Mtendaji wa BASATA, Ghonche Materego na Mkurugenzi Msaidizi anayeshughulikia Sanaa Bi. Angela Ngowi

No comments:

Post a Comment