Search This Blog

Thursday, June 16, 2011

Nini cha kufanya, siku ya kwanza!


"Dinah mi nina swali..kama nakutana mara ya kwanza kimwili na mwanaume what should i do n what should i not do??i would really like to makelove to him coz i believe we both love eachother na tumeanza kuwana kahusiano mwanzo wa mwaka huu but we re both very busy n thought we wanted to do it when we can both enjoy n feel ready.

I want to make it special!!coz we trully adore eachother and get along i don want to blow it!postions i should do??viuno??blow job??im planning it to be at ma place ,have a nice home cooked meal,trying to make ma room tempting beemed light,candles,slow music ,wear kinky knickers u know sort of a thing!!looking forward na comments zenu.thanks"
Jawabu: Asante kwa swali lako na pi anaomba radhi kwa kuchelewa kukujibu kwani nilikuwa likizo. Napenda kwanza ukumbuke au utambue kuwa mwanaume siku zote anapenda au anataka kuwa mtendaji mkuu labda niseme kuwa in-control wakati wote hasa hiyo siku ya kwanza ya kukutanisha miili yenu.
Huitaji kujiandaa sana na badala yake jaribu kuwa wewe (be urself) kisha nenda na "flow", ukijiandaa sana unaweza kumuogopesha asirudi tena au akawa anadai ufanye mandalizi hayo kila siku kwa vile ndio uliyoanzanayo so atataka moto uaki pale-pale, sasa siku ukiamua kuwa romantic si jui ndio utafanyaje hehehehehe usijali.
Siku ya kwanza kwa mwanamke na hata kwake yeye mwanaume ni siku ya kujuana miili yenu, i siku ambayo mtu anaweza asi-notice maandalizi yako kwa vile akili yake yote iko kwenye penzi juu yako na jinsi gani atafurahia ku-share mwili wake na wako.
Kwa maelezo zaidi tafadhali nenda kwenye topics za December na saka inayosema "siku ya kwanza". Wachangiaji wengine shukurani za dhati kwa kumuweka sawa mwenzetu.
Kila la kheri!

No comments:

Post a Comment