Search This Blog

Saturday, July 2, 2011

ETI....BEN PAUL AJIUNGA NA THT...?!


 

ETI....BEN PAUL AJIUNGA NA THT...?!
Mshindi wa tuzo ya wimbo bora wa R&B kwenye Kili Music Awards 2011,Ben Paul imefunguliwa kuwa yuko mbioni kujiunga na Kundi la THT...
Ben Paul alichukua tuzo kupitia wimbo wake wa Nikikupata na alifunguka kuwa alikua THT kabla ya kupata offer toka M-Lab chini ya producer Duke na kwa sasa mkataba wake na M-Lab umekwisha baada ya kutoa album moja! ....Na kwa sasa watu waelewe kuwa Ben Paul yuko huru kufanya kazi na mtu yoyote coz hata kwenye album yake artist toka THT wamepata shavu la kufanya naye kazi!....Good Luck ya Kila la kheri

No comments:

Post a Comment