Search This Blog

Sunday, October 23, 2011

Friday, October 21, 2011


HUU NDIO UKWELI WA SKENDO YA WEMA NA DIAMOND KUACHANA,!!


Habari zilizoenea hivi sasa ni juu ya uvumi wa kuachana kwa waliokuwa wapenzi maarufu na wenye penzi la skendo hapa Tanzania,hapa namzungumzia Wema SEPETU n Naseeb Abdul,ambao kwa sasa inavyosemekana wawili hao wamepeana kibuti na kila mmoja anachukua hamsini zake.Uvumi huo uliibuka baada ya wana na wapenzi wanaochati kupitia BBM kupata sms kutoka kwa mrembo huyo akipigana vijembe na watu tofauti juu ya kuachana kwa wawili hao,huku Wema akionekana kutoa maneno ya kashifa na makali kwa watu mbalimbali ikiwemo waigizaji wenzake.Lakini wote wawili Wema na Diamond walipotafutwa na media tofauti kuzungumzia juu ya swala hilo hawakuwa tayari kutoa ushirikiano na Diamond hakupokea simu kabisa.

No comments:

Post a Comment