Search This Blog

Thursday, April 21, 2011

WASHINDIWA 'SIKU YA UWEZO' WAKABIDHIWA HAKI YAO

Meneja Udhamini na Promosheni wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akimkabidhi hundi Yuda Joseph mfanyakazi wa dukani eneo la Kinondoni jijini kitita cha shilingi milioni kumi alichojishindia katika promosheni ya siku ya uwezo iliyoendeshwa na kampuni hiyo. Katikati anayeshuhudia ni Afisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kahude.

No comments:

Post a Comment