Search This Blog

Thursday, April 21, 2011

MAVAZI HAYA BALAA TUPU DUH!

Jamani wadau oneni hatari hii ya wanenguaji wa kibongo, ona mavazi haya sasa tuulizane Tanzania bila UKIMWI inawezekana?

FID Q AGEUKA MWANAHARAKATI WA MALARIA KWA WASANII WA MWANZA

Fid Q akiwa kama mmoja wa mabalozi wa maralia alishiriki kwa kiwango kikubwa kuelimisha wana hip hop wa home kutumia sanaa kama sehemu ya darasa kwa umma

WASHINDIWA 'SIKU YA UWEZO' WAKABIDHIWA HAKI YAO

Meneja Udhamini na Promosheni wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akimkabidhi hundi Yuda Joseph mfanyakazi wa dukani eneo la Kinondoni jijini kitita cha shilingi milioni kumi alichojishindia katika promosheni ya siku ya uwezo iliyoendeshwa na kampuni hiyo. Katikati anayeshuhudia ni Afisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kahude.

Mhh taratibu baba utapasua hiyo


Rais Jakaya kikwete akionyesha kuenzi  utamaduni kwa kupiga ngoma